Nenda kwa yaliyomo

Mwaka wa Kanisa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 20:55, 28 Mei 2011 na WikitanvirBot (majadiliano | michango) (r2.7.1) (roboti Nyongeza: ar:أعياد مسيحية)
Mwaka wa Kanisa kadiri ya kalenda ya liturujia ya Roma

Mwaka wa Kanisa ni muda ambapo Wakristo wanaadhimisha fumbo la Kristo.

Wakati dunia inapozunguka kandokando ya jua hadi kurudi ilipokuwa, jumuia ya wafuasi wa Yesu inazunguka kandokando yake ili kuzidi kumfahamu kwa imani, kumuadhimisha kwa tumaini na kumfuata kwa upendo.

Viungo vya nje