Papa Anastasio II
Mandhari
Papa Anastasio II alikuwa papa kuanzia 24 Novemba, 496 hadi kifo chake tarehe 16 Novemba, 498. Alimfuata Papa Gelasio I.
Viungo vya nje
Kuhusu Papa Anastasio II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |