Nenda kwa yaliyomo

Ella Toone

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Toone akiichezea Manchester United mwaka 2023

Ella Ann Toone (alizaliwa 2 Septemba 1999)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Uingereza ambaye anacheza kama kiungo mshambuliaji katika klabu ya Manchester United iliyopo ligi ya Juu ya Wanawake(WSL), na timu ya taifa ya Uingereza.

Aliiwakilisha Uingereza kutoka chini ya umri wa miaka 17 hadi chini ya 21, akifunga bao lake la kwanza la Euro dhidi ya Uhispania mnamo 2022, na lingine dhidi ya Ujerumani kwenye fainali ya Euro 2022, akiisaidia timu hiyo kutwaa ubingwa.[2]

  1. "List of Players – England" (PDF). FIFA. 24 Septemba 2016. uk. 4. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 4 Novemba 2016. Iliwekwa mnamo 2 Desemba 2018. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Drudge, Harriet (19 Agosti 2018). "MATCH REPORT: LIVERPOOL WOMEN 0 UNITED WOMEN 1". ManUtd.com. Iliwekwa mnamo 19 Mei 2019.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ella Toone kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.