Tisyano wa Oderzo (kwa Kiitalia: Tiziano; Eraklea, Veneto, Italia, karne ya 6 - 16 Januari 632[1]) alikuwa askofu wa mji huo.

Mt. Tisyano wa Oderzo.

Alipinga Uario.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Januari[2].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri
  1. Antonio Borrelli (2004). "San Tiziano di Oderzo". Santi e beati. Iliwekwa mnamo Agosti 26, 2011.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje

hariri
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.