Yosefu Sebastiani Pelczar

Yosefu Sebastiani Pelczar (17 Januari 184228 Machi 1924) alikuwa askofu wa Przemyśl (leo nchini Polandi) kuanzia mwaka 1900 hadi kifo chake.[1]

Picha yake halisi ya mwaka 1920 hivi.

Pamoja na kuwa mwalimu maarufu wa maisha ya Kiroho, alisaidia watu kwa kila namna na kuanzisha shirika la Wajakazi wa Moyo Mtakatifu wa Yesu[2].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 2 Juni 1991 halafu mtakatifu tarehe 18 Mei 2003.[3]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91593
  2. Józef Sebastian Pelczar (1842-1924)
  3. "Saint Joseph Sebastian Pelczar". Saints SQPN. 11 Juni 2015. Iliwekwa mnamo 6 Julai 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje

hariri
 
WikiMedia Commons
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.