Nenda kwa yaliyomo

Kiwa-Parauk

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Kiwa-Parauk ni lugha ya Kiaustro-Asiatiki nchini Myanmar, China na Uthai inayozungumzwa na Wawa-Parauk. Idadi ya wasemaji wa Kiwa-Parauk imehesabiwa kuwa watu 400,000 nchini Myanmar (2000), watu 399,000 nchini China (2008) na watu 6700 nchini Uthai (2008). Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiwa-Parauk iko katika kundi la Kipalaungiki.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiwa-Parauk kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.