Nenda kwa yaliyomo

Masimo wa Torino : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 13: Mstari 13:
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]



Pitio la 10:56, 1 Agosti 2019

Picha ya Mt. Masimo katika mavazi ya ibada ya Kiaskofu.

Masimo wa Torino (labda 380 hivi – 420 hivi) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki na mwanateolojia kutoka Italia Kaskazini.

Mwanafunzi wa watakatifu Eusebi wa Vercelli na Ambrosi wa Milano, alipata kuwa askofu wa Torino, Italia, kwa miaka 30 hivi, tena ndiye wa kwanza kujulikana katika ya maaskofu wake.

Pia alitunga hotuba mia kadhaa[1] na vitabu sita.

Ingawa maisha yake hayajulikani sana, huyo babu wa Kanisa anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Juni.

Tazama pia

Tanbihi

  1. Corpus Christianorum Series Latina n° XXIII, Turnhout, 1962.

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.