Upelaji : Tofauti kati ya masahihisho
Mandhari
Content deleted Content added
Rescuing 2 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8 |
Add 1 book for verifiability (20210217)) #IABot (v2.0.8) (GreenC bot |
||
Mstari 2: | Mstari 2: | ||
'''Upelaji''' (kwa [[Kiingereza]]: Pelagianism) ni mtazamo wa [[teolojia]] ya [[Ukristo]] unaodhani [[dhambi ya asili]] haijaharibu [[umbile]] la [[binadamu]], hivyo [[hiari]] yake inaweza bado kutekeleza [[maadili]] bila kuhitaji [[neema]] ya pekee kutoka kwa [[Mungu]]. Hatimaye mtu anaweza kujipatia [[wokovu]] kwa [[juhudi]] zake mwenyewe. |
'''Upelaji''' (kwa [[Kiingereza]]: Pelagianism) ni mtazamo wa [[teolojia]] ya [[Ukristo]] unaodhani [[dhambi ya asili]] haijaharibu [[umbile]] la [[binadamu]], hivyo [[hiari]] yake inaweza bado kutekeleza [[maadili]] bila kuhitaji [[neema]] ya pekee kutoka kwa [[Mungu]]. Hatimaye mtu anaweza kujipatia [[wokovu]] kwa [[juhudi]] zake mwenyewe. |
||
Mtazamo huo umepata [[jina]] kutokana na [[mmonaki]] wa [[Ireland]]<ref>{{cite book|last1=H. Zimmer|title="Pelagius in Ireland"|date=1901|location=Berlin|page=20}}</ref> [[Pelagius]] ([[354]]–[[420]] au [[440]]), ingawa pengine huyo alikataa baadhi ya mafundisho yaliyosemekana kuwa yake. |
Mtazamo huo umepata [[jina]] kutokana na [[mmonaki]] wa [[Ireland]]<ref>{{cite book|last1=H. Zimmer|title="Pelagius in Ireland"|url=https://archive.org/details/pelagiusinirlan00zimmgoog|date=1901|location=Berlin|page=[https://archive.org/details/pelagiusinirlan00zimmgoog/page/n37 20]}}</ref> [[Pelagius]] ([[354]]–[[420]] au [[440]]), ingawa pengine huyo alikataa baadhi ya mafundisho yaliyosemekana kuwa yake. |
||
Ulipingwa hasa na [[Agostino wa Hippo]] na kulaaniwa na [[mtaguso wa Kartago]] wa [[mwaka]] [[418]], halafu na [[mtaguso wa Efeso]] ([[431]]). |
Ulipingwa hasa na [[Agostino wa Hippo]] na kulaaniwa na [[mtaguso wa Kartago]] wa [[mwaka]] [[418]], halafu na [[mtaguso wa Efeso]] ([[431]]). |
Pitio la 23:17, 17 Februari 2021
Upelaji (kwa Kiingereza: Pelagianism) ni mtazamo wa teolojia ya Ukristo unaodhani dhambi ya asili haijaharibu umbile la binadamu, hivyo hiari yake inaweza bado kutekeleza maadili bila kuhitaji neema ya pekee kutoka kwa Mungu. Hatimaye mtu anaweza kujipatia wokovu kwa juhudi zake mwenyewe.
Mtazamo huo umepata jina kutokana na mmonaki wa Ireland[1] Pelagius (354–420 au 440), ingawa pengine huyo alikataa baadhi ya mafundisho yaliyosemekana kuwa yake.
Ulipingwa hasa na Agostino wa Hippo na kulaaniwa na mtaguso wa Kartago wa mwaka 418, halafu na mtaguso wa Efeso (431).
Hata hivyo unajitokeza tena na tena katika historia ya Kanisa, hasa katika makundi yenye juhudi katika maisha ya Kiroho kama upelajiupande.
Tanbihi
- ↑ H. Zimmer (1901). "Pelagius in Ireland". Berlin. uk. 20.
{{cite book}}
: CS1 maint: location missing publisher (link)
Vyanzo
- Bercot, David. A Dictionary of Early Christian Beliefs, Hendrickson Publishers
- Rees, B. R., The Letters of Pelagius and his Followers, The Boydell Press
Marejeo mengine
- Maandishi ya Pelagius
- Letters of Pelagius: To A Presbyter, Augustine of Hippo, and Pope Innocent I
- Confession of Faith
- On Nature
- Defense Of The Freedom Of The Will
- Expositions on Paul's Epistle
- Excerpts Out Of Divine Scriptures: Book One (a.k.a. Chapters)
- Written Anathema
Viungo vya nje
- The Writings of the legendary Pelagians
- Canons From The Council Of Carthage Against Pelagianism, May 1, 418
- Pelagians, Donatists, Monks, Anabaptists and other Perfectionists Archived 11 Februari 2006 at the Wayback Machine. – a sympathetic look at Pelagianism and similar 'perfectionist' movements
- Pelagius Library: Online site dedicated to the study of Pelagius
- Pelagianism: The Religion of Natural Man Archived 1 Aprili 2007 at the Wayback Machine. – a critical look at Pelagianism
- Marcus, Gilbert. "Pelagianism and the ‘Common Celtic Church’", University of Glasgow
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Upelaji kama historia yake, matokeo au athari zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |